Ninamuomba Allaah (´Azza wa Jall) atuongoze sote katika elimu yenye manufaa, matendo mema, uthabiti juu ya haki na kutahadhari na fitina na shari.
Hivi sasa kama ambavyo mnajua fitina inaenezwa kwenye simu na tovuti. Tahadharini! Tahadharisheni tovuti hizi mbaya na fikira zinazozunguka kwenye simu. Tahadharisheni nazo!
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Haqiyqatu Da´wat-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/02011436.mp3
- Imechapishwa: 27/08/2020
Ninamuomba Allaah (´Azza wa Jall) atuongoze sote katika elimu yenye manufaa, matendo mema, uthabiti juu ya haki na kutahadhari na fitina na shari.
Hivi sasa kama ambavyo mnajua fitina inaenezwa kwenye simu na tovuti. Tahadharini! Tahadharisheni tovuti hizi mbaya na fikira zinazozunguka kwenye simu. Tahadharisheni nazo!
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Haqiyqatu Da´wat-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/02011436.mp3
Imechapishwa: 27/08/2020
https://firqatunnajia.com/msimamo-juu-ya-tovuti-mbaya-na-propaganda-chafu-kwenye-simu-jiepushe-na-utahadharishe/