Swali: Shaykh [Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab] alichagua madhehebu ya Hanbaliy juu ya mengine yote. Kuna sababu ya hilo?
Jibu: Madhehebu ya Hanbaliy yamejengwa juu ya Qur-aan na Sunnah. Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab anafuata yale yaliyojengwa juu ya dalili katika madhehebu ya Hanbaliy na mengineyo. Anapobainikiwa na dalili anaifuata hata kama itakuwa katika madhehebu yasiyokuwa ya Hanbaliy. Hili ndilo la wajibu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Haqiyqatu Da´wat-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/02011436.mp3
- Imechapishwa: 27/08/2020
Swali: Shaykh [Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab] alichagua madhehebu ya Hanbaliy juu ya mengine yote. Kuna sababu ya hilo?
Jibu: Madhehebu ya Hanbaliy yamejengwa juu ya Qur-aan na Sunnah. Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab anafuata yale yaliyojengwa juu ya dalili katika madhehebu ya Hanbaliy na mengineyo. Anapobainikiwa na dalili anaifuata hata kama itakuwa katika madhehebu yasiyokuwa ya Hanbaliy. Hili ndilo la wajibu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Haqiyqatu Da´wat-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/02011436.mp3
Imechapishwa: 27/08/2020
https://firqatunnajia.com/ibn-abdil-wahhaab-anafuata-dalili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)