Swali: Kuna msikiti uko pambizoni na shule. Je, wakati kunapokimiwa swalah kwenye msikiti huu inawalazimu kuhudhuria wale waalimu waliomaliza kazi endapo hakuna tatizo lolote juu ya kutoka kwao nje?
Jibu: Ikiwa msikiti uko karibu na hakuna tatizo lolote basi wanapasa kuswali msikitini.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
- Imechapishwa: 25/09/2021
Swali: Kuna msikiti uko pambizoni na shule. Je, wakati kunapokimiwa swalah kwenye msikiti huu inawalazimu kuhudhuria wale waalimu waliomaliza kazi endapo hakuna tatizo lolote juu ya kutoka kwao nje?
Jibu: Ikiwa msikiti uko karibu na hakuna tatizo lolote basi wanapasa kuswali msikitini.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
Imechapishwa: 25/09/2021
https://firqatunnajia.com/msikiti-karibu-na-shule/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket