Swali: Nilivaa mavazi ya Ihraam na nikapanda ndege. Lakini wakati ndege ilipita kituo nilikuwa nimelala na sikutamka Ihraam yangu isipokuwa baada ya ndege kudema. Je, kuna kinachonilazimu?
Jibu: Ndio. Hukuingia Ihraam kutoka kituoni. Ima urudi kituoni na uingie Ihraam hapo kituoni au uingie Ihraam hapo uwanjani wa ndege na hivyo utoe fidia.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (20) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-6-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 12/01/2020
Swali: Nilivaa mavazi ya Ihraam na nikapanda ndege. Lakini wakati ndege ilipita kituo nilikuwa nimelala na sikutamka Ihraam yangu isipokuwa baada ya ndege kudema. Je, kuna kinachonilazimu?
Jibu: Ndio. Hukuingia Ihraam kutoka kituoni. Ima urudi kituoni na uingie Ihraam hapo kituoni au uingie Ihraam hapo uwanjani wa ndege na hivyo utoe fidia.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (20) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-6-2-1435-01.mp3
Imechapishwa: 12/01/2020
https://firqatunnajia.com/msafiri-wa-ndege-amelala-katika-ihraam/