Swali: Ni ipi kauli yenye nguvu juu ya mtu ambaye ni msafiri katika Ramadhaan akitoka katika mji wake na kwenda katika mji mwingine? Je, ale na kunywa ikiwa kama atakaa chini ya siku tatu au ajizuie kwa kuheshimu Ramadhaan?
Jibu: Akifikia katika mji ambao watu wake wamefunga na yeye akawa na rukhusa ya kula asile hadharani. Badala yake ale kwa siri sehemu ambapo sio hadharani kwa watu ili watu wasiwe na dhana mbaya kwake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo%20%20-%2021%20-%2008%20-%201435.mp3
- Imechapishwa: 09/04/2015
Swali: Ni ipi kauli yenye nguvu juu ya mtu ambaye ni msafiri katika Ramadhaan akitoka katika mji wake na kwenda katika mji mwingine? Je, ale na kunywa ikiwa kama atakaa chini ya siku tatu au ajizuie kwa kuheshimu Ramadhaan?
Jibu: Akifikia katika mji ambao watu wake wamefunga na yeye akawa na rukhusa ya kula asile hadharani. Badala yake ale kwa siri sehemu ambapo sio hadharani kwa watu ili watu wasiwe na dhana mbaya kwake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo%20%20-%2021%20-%2008%20-%201435.mp3
Imechapishwa: 09/04/2015
https://firqatunnajia.com/msafiri-kula-ugegeni-katika-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)