Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kuswali nyumbani kwake na kumfuata imamu kwa sababu anasikia sauti yake?
Jibu: Hapana. Isipokuwa tu ikiwa kama nyumba yake imekamatana na msikiti na anamuona imamu au anawaona maamuma walioko nyuma yake, katika hali hii inajuzu kumfuata imamu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo%20%20-%2021%20-%2008%20-%201435.mp3
- Imechapishwa: 09/04/2015
Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kuswali nyumbani kwake na kumfuata imamu kwa sababu anasikia sauti yake?
Jibu: Hapana. Isipokuwa tu ikiwa kama nyumba yake imekamatana na msikiti na anamuona imamu au anawaona maamuma walioko nyuma yake, katika hali hii inajuzu kumfuata imamu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo%20%20-%2021%20-%2008%20-%201435.mp3
Imechapishwa: 09/04/2015
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kuswali-nyuma-ya-imamu-nyumbani-kwake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)