Swali: Kuna msafiri amejiunga pamoja na imamu mwenye kuswali Taraawiyh. Je, inakubalika Kishari´ah kwa mswaliji huyu kuswali Taraawiyh hii kwa nia ya ´Ishaa hali ya kufupisha?
Jibu: Ndio, inafaa kwake kufanya hivo. Akiwa ni msafiri na akaswali pamoja na imamu na akatoa Tasliym zitamtosha yeye Rak´ah hizo mbili.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
- Imechapishwa: 02/03/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket