Swali: Kuna msafiri amejiunga pamoja na imamu mwenye kuswali Taraawiyh. Je, inakubalika Kishari´ah kwa mswaliji huyu kuswali Taraawiyh hii kwa nia ya ´Ishaa hali ya kufupisha?
Jibu: Ndio, inafaa kwake kufanya hivo. Akiwa ni msafiri na akaswali pamoja na imamu na akatoa Tasliym zitamtosha yeye Rak´ah hizo mbili.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
- Imechapishwa: 02/03/2019
Swali: Kuna msafiri amejiunga pamoja na imamu mwenye kuswali Taraawiyh. Je, inakubalika Kishari´ah kwa mswaliji huyu kuswali Taraawiyh hii kwa nia ya ´Ishaa hali ya kufupisha?
Jibu: Ndio, inafaa kwake kufanya hivo. Akiwa ni msafiri na akaswali pamoja na imamu na akatoa Tasliym zitamtosha yeye Rak´ah hizo mbili.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
Imechapishwa: 02/03/2019
https://firqatunnajia.com/msafiri-kufupisha-nyuma-ya-imamu-anayeswali-taraawiyh/