Swali: Kuhusiana na Udhhiyah. Mtu kisafiri kutoka katika nchi yake kwenda katika njia nyingine. Je, achinje katika nchi ile aliyokwenda au awakilishe mtu amchinjie?
Ibn ´Uthaymiyn: Amesafiri pamoja na familia yake au wamebaki katika nchi yake?
Muulizaji: Wamebaki katika nchi yake.
Ibn ´Uthaymiyn: Wamebaki hawakusafiri?
Muulizaji: Ndio, wamebaki hawakusafiri.
Jibu: Basi lillo bora ni yeye awakilishe mtu ambaye anaweza kuwachinjia familia yake ili familia iweze kufurahika kwa Udhhiyah hiyo.
Swali: Ikiwa amesafiri pamoja na familia yake?
Jibu: Wachinje pale ambapo ´Iyd itawakuta.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ al-Maftuuh (92)
- Imechapishwa: 18/08/2018
Swali: Kuhusiana na Udhhiyah. Mtu kisafiri kutoka katika nchi yake kwenda katika njia nyingine. Je, achinje katika nchi ile aliyokwenda au awakilishe mtu amchinjie?
Ibn ´Uthaymiyn: Amesafiri pamoja na familia yake au wamebaki katika nchi yake?
Muulizaji: Wamebaki katika nchi yake.
Ibn ´Uthaymiyn: Wamebaki hawakusafiri?
Muulizaji: Ndio, wamebaki hawakusafiri.
Jibu: Basi lillo bora ni yeye awakilishe mtu ambaye anaweza kuwachinjia familia yake ili familia iweze kufurahika kwa Udhhiyah hiyo.
Swali: Ikiwa amesafiri pamoja na familia yake?
Jibu: Wachinje pale ambapo ´Iyd itawakuta.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ al-Maftuuh (92)
Imechapishwa: 18/08/2018
https://firqatunnajia.com/msafiri-anachinja-katika-nchi-yake-au-kule-alikokwenda/