Swali: Msafiri amejiunga na imamu mkazi katika zile Rak´ah mbili za mwisho. Je, atoe salamu pamoja naye kwa nia ya kufupisha?
Jibu: Haijuzu kwa msafiri anaposwalishwa na imamu mkazi kufupisha swalah. Dalili ya hilo ni ueneaji wa maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Kile mnachowahi swalini, na kile kilichokupiteni kamilisheni.”[1]
Kutokana na hili pindi msafiri anapojiunga na imamu mkazi katika zile Rak´ah mbili za mwisho, basi ni wajibu kwake kuswali Rak´ah zingine mbili baada ya Tasliym ya imamu. Haijuzu kwake kutoa salamu pamoja na imamu na kutosheka na zile Rak´ah mbili alizoswali – na Allaah ndiye mjuzi zaidi.
[1] al-Bukhaariy (636) na Muslim (602).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/452)
- Imechapishwa: 17/04/2026
Swali: Msafiri amejiunga na imamu mkazi katika zile Rak´ah mbili za mwisho. Je, atoe salamu pamoja naye kwa nia ya kufupisha?
Jibu: Haijuzu kwa msafiri anaposwalishwa na imamu mkazi kufupisha swalah. Dalili ya hilo ni ueneaji wa maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Kile mnachowahi swalini, na kile kilichokupiteni kamilisheni.”[1]
Kutokana na hili pindi msafiri anapojiunga na imamu mkazi katika zile Rak´ah mbili za mwisho, basi ni wajibu kwake kuswali Rak´ah zingine mbili baada ya Tasliym ya imamu. Haijuzu kwake kutoa salamu pamoja na imamu na kutosheka na zile Rak´ah mbili alizoswali – na Allaah ndiye mjuzi zaidi.
[1] al-Bukhaariy (636) na Muslim (602).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/452)
Imechapishwa: 17/04/2026
https://firqatunnajia.com/msafiri-amejiunga-na-imamu-mkazi-katika-zile-rakah-mbili-za-mwisho/