Swali: Swalah ya ´Ishaa ilinikuta nikiwa safarini ambapo nikaswali Rak´ah mbili nyuma ya imamu mkazi. Je, swalah yangu hiyo ni sahihi?
Jibu: Swalah yako si sahihi. Ni wajibu uirudie Rak´ah nne, kwa sababu imesihi kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yanayofahamisha kwamba msafiri akiswali nyuma ya mkazi, basi analazimika kuswali Rak´ah nne.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/215)
- Imechapishwa: 15/03/2026
Swali: Swalah ya ´Ishaa ilinikuta nikiwa safarini ambapo nikaswali Rak´ah mbili nyuma ya imamu mkazi. Je, swalah yangu hiyo ni sahihi?
Jibu: Swalah yako si sahihi. Ni wajibu uirudie Rak´ah nne, kwa sababu imesihi kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yanayofahamisha kwamba msafiri akiswali nyuma ya mkazi, basi analazimika kuswali Rak´ah nne.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/215)
Imechapishwa: 15/03/2026
https://firqatunnajia.com/msafiri-amefupisha-nyuma-ya-imamu-mkazi-anayeswali-kwa-kukamilisha/