Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusujudu mbele ya sanamu lakini nia yake ni kusujudu kwa ajili ya Allaah (Subhaanah) ili aweze kufikia jambo la kidunia?
Jibu: Namwomba Allaah kinga kuwa miongoni mwa wajinga. Anasujudia sanamu kwa nia ya kumsujudia Allaah? Hakuna mwenye kusema hivi isipokuwa mtu mpumbavu au mtu mwenye ´Aqiydah mbovu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (08) http://alfawzan.af.org.sa/node/2123
- Imechapishwa: 05/07/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)