Swali: Kuna mwanaume amemchumbia msichana wangu. Baada ya muda nikagundua kuwa haswali. Nifanye nini?

Jibu: Usimuozeshe. Maadamu haswali ni kafiri. Hivyo basi usimuozeshe msichana wako.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340126_0.mp3
  • Imechapishwa: 19/09/2020