Swali: Mume wangu haswali. Anaswali baadhi ya siku kisha anaacha mwezi mpaka miezi miwili. Naomba nasaha?
Jibu: Ikiwa haswali msikitini wala nyumbani kabisa, basi ni lazima kwako kumnasihi, kumtahadharisha na umwambie kuna matatizo kwa ambaye haswali. Penigne Allaah akaufungua moyo wake.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/فتاوى-على-الهواء-26-12-1435هـ
- Imechapishwa: 19/06/2022
Swali: Mume wangu haswali. Anaswali baadhi ya siku kisha anaacha mwezi mpaka miezi miwili. Naomba nasaha?
Jibu: Ikiwa haswali msikitini wala nyumbani kabisa, basi ni lazima kwako kumnasihi, kumtahadharisha na umwambie kuna matatizo kwa ambaye haswali. Penigne Allaah akaufungua moyo wake.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/فتاوى-على-الهواء-26-12-1435هـ
Imechapishwa: 19/06/2022
https://firqatunnajia.com/mnasihi-mume-wako-asiyeswali/