Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kusimulia maongezi na anaona kuwa ni ya uwongo, basi yeye ni mmoja katika waongo.”
Vipi kwa ambaye anasimulia Hadiyth na hajui usahihi wake anaingia katika hili?
Jibu: Hapana. [Anayeingia ni] ambaye anadhania kuwa ni uwongo au akajua kuwa ni uwongo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23411/ما-حكم-من-حدث-بحديث-لا-يدري-بصحته
- Imechapishwa: 13/01/2024
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kusimulia maongezi na anaona kuwa ni ya uwongo, basi yeye ni mmoja katika waongo.”
Vipi kwa ambaye anasimulia Hadiyth na hajui usahihi wake anaingia katika hili?
Jibu: Hapana. [Anayeingia ni] ambaye anadhania kuwa ni uwongo au akajua kuwa ni uwongo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23411/ما-حكم-من-حدث-بحديث-لا-يدري-بصحته
Imechapishwa: 13/01/2024
https://firqatunnajia.com/mmoja-katika-waongo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)