Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya kazi ya ulinzi katika benki za ribaa?

Jibu: Ikiwa serikali ndio imekuweka hapo, hapana neno. Kwa sababu maaskari hulinda maeneo mbalimbali. Hili ni kwa njia ya amani. Lakini ikiwa benki ndio imekuajiri kama mlinzi haijuzu.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (45)
  • Imechapishwa: 25/07/2024