Swali: Ni ipi hukumu ya mtu ambaye anawahimiza watu waipe nyongo dunia lakini yeye anaikusanya.
Jibu: Kwa msemo mwingine ni kwamba anawanasihi watu wachume vidogo vitu vya kidunia lakini yeye anaikusanya kwa utukufu. Ni ipi hukumu yake? Huyu ni miongoni mwa wale ambao maneno yake yanapingana na matendo yake.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Khaatam-ul-Mursaliyn https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-10/lqa-mftoh-godian.mp3
- Imechapishwa: 26/09/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya mtu ambaye anawahimiza watu waipe nyongo dunia lakini yeye anaikusanya.
Jibu: Kwa msemo mwingine ni kwamba anawanasihi watu wachume vidogo vitu vya kidunia lakini yeye anaikusanya kwa utukufu. Ni ipi hukumu yake? Huyu ni miongoni mwa wale ambao maneno yake yanapingana na matendo yake.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Khaatam-ul-Mursaliyn https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-10/lqa-mftoh-godian.mp3
Imechapishwa: 26/09/2022
https://firqatunnajia.com/mlinganizi-ambaye-maneno-yanapingana-na-vitendo-vyake/