Swali: Muislamu afanye nini akiingia msikitini asubuhi siku ya ´iyd na akakutana watu wameshaswali swalah ya ´iyd. Je, inajuzu kwake kuswali swalah ya mkusanyiko mwingine?
Jibu: Ndio, wanaweza kuswali [swalah ya] mkusanyiko mwingine kwa imamu na sifa na sura ya swalah ya ´iyd.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (08) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-10-15.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2014
Swali: Muislamu afanye nini akiingia msikitini asubuhi siku ya ´iyd na akakutana watu wameshaswali swalah ya ´iyd. Je, inajuzu kwake kuswali swalah ya mkusanyiko mwingine?
Jibu: Ndio, wanaweza kuswali [swalah ya] mkusanyiko mwingine kwa imamu na sifa na sura ya swalah ya ´iyd.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (08) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-10-15.mp3
Imechapishwa: 11/11/2014
https://firqatunnajia.com/mkusanyiko-wa-pili-katika-swalah-ya-iyd/