Swali: Je, mkojo wa paka ni msafi kwa kuzingatia ya kwamba inaishi na watu?
Jibu: Paka ni safi kwa sababu inaishi pamoja na watu. Lakini mnyama asiyeliwa, basi na mkojo wake pia ni najisi. Haijalishi kitu sawa akiwa ni paka au mnyama mwingine. Mate ya paka ndio masafi. Kile ambacho paka inakula au kunywa ndani yake kinabaki pia kuwa ni kisafi. Mkojo wake ni najisi na unajumuishwa na mikojo mingine.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340204.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Je, mkojo wa paka ni msafi kwa kuzingatia ya kwamba inaishi na watu?
Jibu: Paka ni safi kwa sababu inaishi pamoja na watu. Lakini mnyama asiyeliwa, basi na mkojo wake pia ni najisi. Haijalishi kitu sawa akiwa ni paka au mnyama mwingine. Mate ya paka ndio masafi. Kile ambacho paka inakula au kunywa ndani yake kinabaki pia kuwa ni kisafi. Mkojo wake ni najisi na unajumuishwa na mikojo mingine.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340204.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/mkojo-wa-paka-ni-najisi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)