Swali: Mwanamke huyu anasema kuwa alitumbukia katika madhambi makubwa kabla ya ndoa. Je, ni wajibu kwake kumwambia mume wake kitendo hichi au vipi atatubu…
Jibu: Ni juu yake kutubu kwa Allaah na asitiri nafsi yake na himdi zote ni Zake Allaah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-01-05-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 20/09/2020
Swali: Mwanamke huyu anasema kuwa alitumbukia katika madhambi makubwa kabla ya ndoa. Je, ni wajibu kwake kumwambia mume wake kitendo hichi au vipi atatubu…
Jibu: Ni juu yake kutubu kwa Allaah na asitiri nafsi yake na himdi zote ni Zake Allaah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-01-05-1435-01.mp3
Imechapishwa: 20/09/2020
https://firqatunnajia.com/mke-kumweleza-mume-yaliyopitika-kabla-ya-ndoa/