Swali: Mwanaume amemuoa mwanamke na baada ya kuchanganyika naye akaona kuwa amechanja. Je, hiyo inazingatiwa kuwa ni katika kasoro zinazohalalisha kuifuta ndoa?
Jibu: Hapana, sio kasoro. Hata hivyo kuchanja ni haramu kwake. Anatakiwa kuiondosha kwa njia yoyote. Lakini hata hivyo hiyo sio kasoro inayomhalalisha kuivunja ndoa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (37)
- Imechapishwa: 23/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)