Swali: Mwanaume amemuoa mwanamke na baada ya kuchanganyika naye akaona kuwa amechanja. Je, hiyo inazingatiwa kuwa ni katika kasoro zinazohalalisha kuifuta ndoa?

Jibu: Hapana, sio kasoro. Hata hivyo kuchanja ni haramu kwake. Anatakiwa kuiondosha kwa njia yoyote. Lakini hata hivyo hiyo sio kasoro inayomhalalisha kuivunja ndoa.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (37)
  • Imechapishwa: 23/07/2023