Swali: Je, inafaa kwa mtu ambaye ni fakiri kuteua mjumbe wa kumpokelea Zakaat-ul-Fitwr kutoka kwa yule anayeitoa katika kipindi chake inapotolewa?
Jibu: Inafaa kufanya hivo. Inafaa kwa yule mwenye kutoa Zakaat-ul-Fitwr kumwambia yule fakiri ateue mtu ambaye atampokelea Zakaat-ul-Fitwr yake wakati inapofika wakati wake. Inapofika wakati wa Zakaat-ul-Fitwr, ambapo ni siku moja au mbili kabla, basi atapewa yule mjumbe ambaye ameteuliwa na yule fakiri.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/268-269)
- Imechapishwa: 06/05/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket