Swali: Mwenye kusitasita kumkufurisha kafiri kutokana na ujinga wake anazingatiwa ni kafiri?
Jibu: Haijuzu kwa muislamu kusitasita juu ya kuwakufurisha makafiri. Hili ni jambo liko wazi. Kuwakufurisha makafiri ni miongoni mwa mambo yako wazi. Si katika mambo yaliyofichikana. Haijuzu kuwa na mashaka katika hili. Haijalishi kitu hata kama si msomi. Kwa sababu haya ni miongoni mwa mambo yaliyo wazi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/03.mp3
- Imechapishwa: 24/02/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)