Swali: Inafaa kwa mtu kuitwa jina la ´Abdul-Mawjuud (mja wa aliyepo)?
Jibu: Hapana. Mawjuud si katika majina ya Allaah. Yeye (Subhaanah) yupo. Lakini si katika majina ya Allaah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 19
- Imechapishwa: 24/02/2019
Swali: Inafaa kwa mtu kuitwa jina la ´Abdul-Mawjuud (mja wa aliyepo)?
Jibu: Hapana. Mawjuud si katika majina ya Allaah. Yeye (Subhaanah) yupo. Lakini si katika majina ya Allaah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 19
Imechapishwa: 24/02/2019
https://firqatunnajia.com/inafaa-kumwita-mtoto-jina-la-abdul-mawjuud/