Swali: Inajuzu kwa mwanamke mwenye kukaa eda kwenda kumtembelea msichana wake ambaye amezaa karibuni?
Jibu: Bora zaidi ni kumwacha yeye aje. Kawaida ni kuwa wanawake wamezowea kuzaa nyumbani kwa mama zao. Yeye ndiye anatakiwa kuja kwa mama yake. Mama asiende kwake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir%20ayat-03-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Inajuzu kwa mwanamke mwenye kukaa eda kwenda kumtembelea msichana wake ambaye amezaa karibuni?
Jibu: Bora zaidi ni kumwacha yeye aje. Kawaida ni kuwa wanawake wamezowea kuzaa nyumbani kwa mama zao. Yeye ndiye anatakiwa kuja kwa mama yake. Mama asiende kwake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir%20ayat-03-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/mjane-anataka-kumsaidia-mwanae-aliyezaa/