Swali: Vipi Ibraahiym atakuwa ni Muislamu ilihali Uislamu ulikuja baada yake?
Jibu: Wewe hujui ni nini Uislamu. Maana ya Uislamu ni kujisalimisha kwa Allaah kwa Tawhiyd (kumpwekesha), kunyenyekea Kwake kwa utiifu na kujitakasa na Shirki na kujitenga mbali na washirikina. Huu ndio Uislamu katika kila zama na mahala na ndio Uislamu ambao Allaah Amewatuma kwao Mitume wote. Kila Mtume na wafuasi wao walikuwa juu ya Uislamu. Kila yule ambaye alijisalimisha kwa Allaah na akamtii na akatendea kazi Shari´ah Yake katika ule wakati wake, basi huyo ni “Muislamu”. Hali iliendelea kuwa namna hii mpaka pale Alipotumwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ikawa “Uislamu” ni yale aliyokuja nayo Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mpaka hapo Qiyaamah kitaposimama.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (47) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-04-08.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Vipi Ibraahiym atakuwa ni Muislamu ilihali Uislamu ulikuja baada yake?
Jibu: Wewe hujui ni nini Uislamu. Maana ya Uislamu ni kujisalimisha kwa Allaah kwa Tawhiyd (kumpwekesha), kunyenyekea Kwake kwa utiifu na kujitakasa na Shirki na kujitenga mbali na washirikina. Huu ndio Uislamu katika kila zama na mahala na ndio Uislamu ambao Allaah Amewatuma kwao Mitume wote. Kila Mtume na wafuasi wao walikuwa juu ya Uislamu. Kila yule ambaye alijisalimisha kwa Allaah na akamtii na akatendea kazi Shari´ah Yake katika ule wakati wake, basi huyo ni “Muislamu”. Hali iliendelea kuwa namna hii mpaka pale Alipotumwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ikawa “Uislamu” ni yale aliyokuja nayo Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mpaka hapo Qiyaamah kitaposimama.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (47) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-04-08.mp3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/mitume-wote-alayhimus-salaam-walikuwa-waislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)