Swali: Unatushauri kujenga misikiti nje ya nchi hii mahali ambapo kunatambulika kwa Taswawwuf na kuyajengea makaburi? Wazazi wangu ndio wanataka hivo.
Jibu: Hapana. Hatuwasaidii yale waliyomo katika Bid´ah na maovu. Hatuwasaidii. Tunajenga misikiti kwa ajili ya Ahl-us-Sunnah na watu walio na ´Aqiydah sahihi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (50) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20M%20-%2019%20-%207%20-%201437_01-.mp3
- Imechapishwa: 05/07/2020
Swali: Unatushauri kujenga misikiti nje ya nchi hii mahali ambapo kunatambulika kwa Taswawwuf na kuyajengea makaburi? Wazazi wangu ndio wanataka hivo.
Jibu: Hapana. Hatuwasaidii yale waliyomo katika Bid´ah na maovu. Hatuwasaidii. Tunajenga misikiti kwa ajili ya Ahl-us-Sunnah na watu walio na ´Aqiydah sahihi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (50) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20M%20-%2019%20-%207%20-%201437_01-.mp3
Imechapishwa: 05/07/2020
https://firqatunnajia.com/misaada-katika-misikiti-ya-ahl-ul-bidah/