Swali: Inafaa kufanya mikutano msikitini?
Jibu: Ni sawa haja ikipelekea kufanya hivo. Ni katika manufaa. Mikutano ambayo ina manufaa kwa waislamu haina neno.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22049/هل-يجوز-عقد-الموتمرات-في-المساجد
- Imechapishwa: 21/10/2022
Swali: Inafaa kufanya mikutano msikitini?
Jibu: Ni sawa haja ikipelekea kufanya hivo. Ni katika manufaa. Mikutano ambayo ina manufaa kwa waislamu haina neno.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22049/هل-يجوز-عقد-الموتمرات-في-المساجد
Imechapishwa: 21/10/2022
https://firqatunnajia.com/mikutano-ya-kawaida-msikitini/