Swali: Baadhi ya miji ndimi zao zimezowea kuapa kwa jina la Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Je, wakemewe kwa kuendelea na jambo hilo?
Jibu: Ndio. Wabainishieni kuwa kitendo hicho hakifai. Haifai kuapa kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hakuapwi isipokuwa kwa jina la Allaah. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kutaka kuapa basi aape kwa Allaah au anyamaze.”
“Msiape kwa baba zenu.”
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (107) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoulahfan-22-06-1441.mp3
- Imechapishwa: 11/09/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)