Swali: Je, inajuzu kunywa mkojo wa ngamia?
Jibu: Ndio. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha kuunywa kwa yule aliyepatwa na homa. Inajuzu kuunywa kwa kuwa ni msafi. Mkojo wa ngamia ni msafi na inajuzu kujitibu nao na kuunywa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-11.mp3
- Imechapishwa: 14/11/2014
Swali: Je, inajuzu kunywa mkojo wa ngamia?
Jibu: Ndio. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha kuunywa kwa yule aliyepatwa na homa. Inajuzu kuunywa kwa kuwa ni msafi. Mkojo wa ngamia ni msafi na inajuzu kujitibu nao na kuunywa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-11.mp3
Imechapishwa: 14/11/2014
https://firqatunnajia.com/mgonjwa-wa-homa-kujitibu-kwa-kunywa-mkojo-wa-ngamia/