Swali: Je, inajuzu kwa mtu kuitwa “mtumishi wa Allaah” (خادم الله)?
Jibu: Hapana. Allaah hahitajii mfanyakazi. Suufiyyah ndio wanaoitwa ´ibaadah kuwa ni “huduma” (خدمة), bi maana ni huduma wanamfanyia Allaah. Si sahihi. Allaah hana haja ya mfanyakazi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (80) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-17-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 10/11/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)