Swali: Je, inafaa kumsengenya yule anayefanya maasi waziwazi mbele ya watu?
Jibu: Anayejionyesha kwa maasi hana makatazo ya kusengenya:
”Ummah wangu wote ni wenye kusamehewa isipokuwa wale kujidhihirisha kwa maasi.”
Kwa hivyo yule anayekunywa pombe hadharani hana makatazo usengenyi, anayenyowa ndevu hadharani hana makatazo usengenyi katika jambo hilo na mfano wa hayo. Tunamuomba Allaah atuepushe na hayo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31156/هل-تجوز-غيبة-المجاهر-بالمعاصي
- Imechapishwa: 09/10/2025
Swali: Je, inafaa kumsengenya yule anayefanya maasi waziwazi mbele ya watu?
Jibu: Anayejionyesha kwa maasi hana makatazo ya kusengenya:
”Ummah wangu wote ni wenye kusamehewa isipokuwa wale kujidhihirisha kwa maasi.”
Kwa hivyo yule anayekunywa pombe hadharani hana makatazo usengenyi, anayenyowa ndevu hadharani hana makatazo usengenyi katika jambo hilo na mfano wa hayo. Tunamuomba Allaah atuepushe na hayo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31156/هل-تجوز-غيبة-المجاهر-بالمعاصي
Imechapishwa: 09/10/2025
https://firqatunnajia.com/mfano-wa-watu-ambao-inafaa-kuwasengenya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket