Swali: Ni wanyama wepi ambao hawafai kuchinja katika ´Iyd-ul-Adhwhaa?
Jibu: Wanyama wanaofaa kuchinja ni wale wanyamahoa:
1 – Ngamia.
2 – Ng´ombe.
3 – Kondoo na mbuzi.
Kumewekwa sharti mwanamke huyo awe amesalimika na kasoro; asiwe chongo, mgonjwa, mnyonge na mwenye kusunda. Kondoo hasihi isipokuwa awe ametimiza miezi sita. Mbuzi hasihi isipokuwa awe ametimiza mwaka. Ng´ombe hasihi isipokuwa awe ametimiza miaka miwili. Ngamia hasihi isipokuwa awe ametimiza miaka tano.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (16875)
- Imechapishwa: 19/07/2020
Swali: Ni wanyama wepi ambao hawafai kuchinja katika ´Iyd-ul-Adhwhaa?
Jibu: Wanyama wanaofaa kuchinja ni wale wanyamahoa:
1 – Ngamia.
2 – Ng´ombe.
3 – Kondoo na mbuzi.
Kumewekwa sharti mwanamke huyo awe amesalimika na kasoro; asiwe chongo, mgonjwa, mnyonge na mwenye kusunda. Kondoo hasihi isipokuwa awe ametimiza miezi sita. Mbuzi hasihi isipokuwa awe ametimiza mwaka. Ng´ombe hasihi isipokuwa awe ametimiza miaka miwili. Ngamia hasihi isipokuwa awe ametimiza miaka tano.
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (16875)
Imechapishwa: 19/07/2020
https://firqatunnajia.com/mfano-wa-wafanyama-wasiofaa-kuchinjwa-katika-iydh-ul-adhwhaa/