Swali: Bora katika ´Iyd-ul-Adhwhaa ni kuchinja kondoo au ng´ombe?
Jibu: Kuchinja kondoo ndio bora. Hakuna neno mtu akichinja ng´ombe au ngamia. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akichinja kondoo wawili. Siku ya hijjah ya kuaga alichinja ngamia mia. Tunachotaka kusema ni kwamba bora ni mtu kuchinja kondoo. Yule mwenye kuchinja ng´ombe au ngamia kila mmoja wakachangia watu saba yote ni mazuri na hakuna neno.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/43)
- Imechapishwa: 25/07/2020
Swali: Bora katika ´Iyd-ul-Adhwhaa ni kuchinja kondoo au ng´ombe?
Jibu: Kuchinja kondoo ndio bora. Hakuna neno mtu akichinja ng´ombe au ngamia. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akichinja kondoo wawili. Siku ya hijjah ya kuaga alichinja ngamia mia. Tunachotaka kusema ni kwamba bora ni mtu kuchinja kondoo. Yule mwenye kuchinja ng´ombe au ngamia kila mmoja wakachangia watu saba yote ni mazuri na hakuna neno.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/43)
Imechapishwa: 25/07/2020
https://firqatunnajia.com/kondoo-au-ngombe/