Swali: Ninafanya kazi kama mchungaji kwenye gereza. Mara moja kwa mwezi ninalazimika kufanya kazi wakati wa swalah ya Ijumaa. Nifanye nini?
Jibu: Sio wajibu kwake kuswali swalah ya Ijumaa. Mchungaji aswali Dhuhr sehemu yake. Ni mwenye kupewa udhuru.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-07-24_0.mp3
- Imechapishwa: 07/06/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket