Swali: Uingereza tuko na mataasisi ya kujitolea yanayoongozwa na makafiri. Hukusanya michango kwa ajili ya tafiti za kielimu katika matibabu. Je, inafaa kwa muislamu kuchangia kwa pesa kwa lengo hili?
Jibu: Inafaa. Ni mchango juu ya kitu kinachofaa. Aidha ni kitu chenye manufaa. Kwa hivyo hakuna neno.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
- Imechapishwa: 22/04/2021
Swali: Uingereza tuko na mataasisi ya kujitolea yanayoongozwa na makafiri. Hukusanya michango kwa ajili ya tafiti za kielimu katika matibabu. Je, inafaa kwa muislamu kuchangia kwa pesa kwa lengo hili?
Jibu: Inafaa. Ni mchango juu ya kitu kinachofaa. Aidha ni kitu chenye manufaa. Kwa hivyo hakuna neno.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
Imechapishwa: 22/04/2021
https://firqatunnajia.com/mchango-juu-ya-vituo-vya-utafiti-wa-matibabu/