Swali: Vipi ikiwa mbwa atamgusa na mkono wake una unyevu?
Jibu: Udhahiri ni kama kitu kingine chochote, atauosha. Maoni sahihi ni kwamba ni najisi. Ndio maana Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema:
“Kukitwahirisha chombo cha mmoja wenu anapokiramba mbwa anakiosha mara saba, muosho wa kwanza kwa mchanga.”
Lakini akimgusa ilihali na yeye ni mkavu haidhuru kitu.
Swali: Je, anapaswa kuosha mikono yake mara saba?
Jibu: Hili ndilo ndio dhahiri zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24702ما-يفعل-من-لمس-الكلب-ويده-رطبة
- Imechapishwa: 29/11/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)