Swali: Inafaa kwa mtu badala ya kumtoa zakaah mbuzi na kondoo akalipa thamani yake?
Jibu: Hakuna neno. Inafaa kwake akamtoa zakaah kondoo na mbuzi au akatoa zakaah ya thamani yake. Wanaoamua jambo hilo ni wale wakusanyaji wa zakaah. Wana haki ya kuchukua mifugo au kima chake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (16)
- Imechapishwa: 26/04/2021
Swali: Inafaa kwa mtu badala ya kumtoa zakaah mbuzi na kondoo akalipa thamani yake?
Jibu: Hakuna neno. Inafaa kwake akamtoa zakaah kondoo na mbuzi au akatoa zakaah ya thamani yake. Wanaoamua jambo hilo ni wale wakusanyaji wa zakaah. Wana haki ya kuchukua mifugo au kima chake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (16)
Imechapishwa: 26/04/2021
https://firqatunnajia.com/mbuzi-na-kondoo-au-thamani-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)