Swali: Je, mate yanafunguza katika Ramadhaan kwa vile hukusanyikiwa na mate mengi khaswa khaswa ikiwa nasoma Qur-aan na msikitini?
Jibu: Mfungaji kumeza mate hakuharibu swawm yake. Haijalishi kitu hata kama hilo litatokea kwa wingi na mara kwa mara msikitini na kwenginepo. Lakini ikiwa yamefikia kiwango cha makohozi usiyameze. Yateme kwenye kitambaa au kitu mfano wake ikiwa uko msikitini.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/270)
- Imechapishwa: 11/06/2017
Swali: Je, mate yanafunguza katika Ramadhaan kwa vile hukusanyikiwa na mate mengi khaswa khaswa ikiwa nasoma Qur-aan na msikitini?
Jibu: Mfungaji kumeza mate hakuharibu swawm yake. Haijalishi kitu hata kama hilo litatokea kwa wingi na mara kwa mara msikitini na kwenginepo. Lakini ikiwa yamefikia kiwango cha makohozi usiyameze. Yateme kwenye kitambaa au kitu mfano wake ikiwa uko msikitini.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/270)
Imechapishwa: 11/06/2017
https://firqatunnajia.com/mate-yanamfunguza-mfungaji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)