Swali: Damu inayotoka kati ya meno kimakosa inafunguza au hapana? Vipi ikiwa ni yenye kutoka kwa mtu mwingine aliyempiga kimakosa?
Jibu: Damu inayotoka kati ya meno haifunguzi. Ni mamoja iwe imetoka yenyewe au iwe mtu amempiga.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/267)
- Imechapishwa: 11/06/2017
Swali: Damu inayotoka kati ya meno kimakosa inafunguza au hapana? Vipi ikiwa ni yenye kutoka kwa mtu mwingine aliyempiga kimakosa?
Jibu: Damu inayotoka kati ya meno haifunguzi. Ni mamoja iwe imetoka yenyewe au iwe mtu amempiga.
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/267)
Imechapishwa: 11/06/2017
https://firqatunnajia.com/damu-inayotoka-kati-ya-meno-inaharibu-swawm/