Swali: Kuna kaseti zinazouzwa ambazo zimerekodiwa Aayah za matabano. Je, njia hii imewekwa katika Shari´ah na inatosheleza?
Jibu: Haijuzu kuziuza kwa njia hii. Matabano yanakuwa moja kwa moja kutoka kwa yule msomaji kwenda kwa yule anayesomewa ambapo anamtemea cheche za mate. Ama kurekodi kwenye kaseti na mfano wake si sawa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
- Imechapishwa: 26/02/2022
Swali: Kuna kaseti zinazouzwa ambazo zimerekodiwa Aayah za matabano. Je, njia hii imewekwa katika Shari´ah na inatosheleza?
Jibu: Haijuzu kuziuza kwa njia hii. Matabano yanakuwa moja kwa moja kutoka kwa yule msomaji kwenda kwa yule anayesomewa ambapo anamtemea cheche za mate. Ama kurekodi kwenye kaseti na mfano wake si sawa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
Imechapishwa: 26/02/2022
https://firqatunnajia.com/matabano-yaliyorekodiwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)