Kipaza sauti na spika kwa matabano ya watu wengi

Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia kipaza sauti wakati wa matabano kwa watu wengi na kutema mate kwa kila mmoja katika wao?

Jibu: Hili halijuzu. Huku ni kuchupa mpaka katika matabano. Si jambo limewekwa katika Shari´ah kuwasomea watu wengi na sambamba na hilo akamtemea mate kila mmoja, au kile kipaza sauti au wote.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
  • Imechapishwa: 26/02/2022