Swali: Ni ipi hukumu mwanamke kusoma chuo kikuu mchanganyiko nje ya nchi?
Jibu: Haijuzu kwake kufanya hivo. Haifai kwake kusoma pale ambapo wanaume wanakaa pembezoni mwa wanawake. Inafaa kwake tu kusoma pale ambapo wanaume wametengana na wanawake au kwenye chuo kikuu cha wanawake peke yao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (66) http://alfawzan.af.org.sa/node/16524
- Imechapishwa: 13/08/2017
Swali: Ni ipi hukumu mwanamke kusoma chuo kikuu mchanganyiko nje ya nchi?
Jibu: Haijuzu kwake kufanya hivo. Haifai kwake kusoma pale ambapo wanaume wanakaa pembezoni mwa wanawake. Inafaa kwake tu kusoma pale ambapo wanaume wametengana na wanawake au kwenye chuo kikuu cha wanawake peke yao.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (66) http://alfawzan.af.org.sa/node/16524
Imechapishwa: 13/08/2017
https://firqatunnajia.com/masomo-ya-chuo-kikuu-ya-mwanamke/