Swali: Ni masikini wepi wanaostahiki kupewa kafara?

Jibu: Masikini ni yule ambaye ana baadhi ya vya kumtosheleza. Hana vya kumtosheleza vilivyokamilika. Huyu ndiye masikini. Fakiri ni yule asiyekuwa na chochote. Fakiri ni mujitaji zaidi kuliko masikini.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
  • Imechapishwa: 03/07/2024