Swali: Imetajwa kwamba miongoni mwa masharti ya Tayammum udongo uwe msafi na vilevile uwe ni wenye kuruhusiwa. Nini maana ya “kuruhusiwa”?
Jibu: Usiwe umepokonywa. Kwa njia ya mtu mtu akapokonya udongo kutoka kwa mtu na akauweka nyumbani kwake. Huu ni udongo uliopokonywa.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
- Imechapishwa: 07/05/2018
Swali: Imetajwa kwamba miongoni mwa masharti ya Tayammum udongo uwe msafi na vilevile uwe ni wenye kuruhusiwa. Nini maana ya “kuruhusiwa”?
Jibu: Usiwe umepokonywa. Kwa njia ya mtu mtu akapokonya udongo kutoka kwa mtu na akauweka nyumbani kwake. Huu ni udongo uliopokonywa.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
Imechapishwa: 07/05/2018
https://firqatunnajia.com/masharti-ya-tayammum/