Swali: Ni ipi hukumu kwa Khatwiyb kunukuu mashairi katika Khutbah ya ijumaa?
Jibu: Haina neno. Ikiwa ni mashairi ya hekima yaliyo na faida ni sawa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir%20ayat-03-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Ni ipi hukumu kwa Khatwiyb kunukuu mashairi katika Khutbah ya ijumaa?
Jibu: Haina neno. Ikiwa ni mashairi ya hekima yaliyo na faida ni sawa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir%20ayat-03-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/mashairi-katika-khutbah/