Swali: Ni marejeo yetu unayotupendezea kujua mfumo wa Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah?
Jibu: Kila kitabu cha ´Aqiydah ambacho kimeandikwa na maimamu wa Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah kinaelezea mfumo huu. Vitabu hivyo vinaitwa vitabu vya imani, vitabu vya Tawhiyd, vitabu vya ´Aqiydah, vitabu vya Sunnah. Ni tungo nyingi. Kinachonidhihirikia kwa karibu ambacho kinaelezea mfumo wa ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah ni “al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah” cha Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ma´aalim Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 40
- Imechapishwa: 18/05/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)