Swali: Je, inafaa kwa mtu kujipulizia manukato yanayolewesha?
Jibu: Ikithibiti kuwa yanalewesha, yanazingatiwa kuwa ni pombe. Katika hali hiyo haitofaa kujipulizia nayo. Bali ni wajibu kuyamwaga. Hapo ni pale ambapo imethibiti.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 12/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)