Swali: Ni ipi hukumu ya wanawake kuyatembelea makaburi? Je, imepokelewa ya kwamba ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) alitembelea kaburi la kaka yake?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah amewalaani wanawake wenye kuyatembelea makaburi na wale kuyafanya ni sehemu ya kuswalia na kuyawekea mataa.”[1]
Kwa hivyo haijuzu kwa mwanamke kuyatembelea makaburi. Kamwe. Kitendo cha ´Aaishah kutembelea kaburi la kaka yake ni kitendo cha Swahabah kisichoangusha Hadiyth ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
[1] Imethibiti kwa mujibu wa Ibn Taymiyyah katika ”Madjmuu´-ul-Fataawaa” (31/206).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 22/10/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya wanawake kuyatembelea makaburi? Je, imepokelewa ya kwamba ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) alitembelea kaburi la kaka yake?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah amewalaani wanawake wenye kuyatembelea makaburi na wale kuyafanya ni sehemu ya kuswalia na kuyawekea mataa.”[1]
Kwa hivyo haijuzu kwa mwanamke kuyatembelea makaburi. Kamwe. Kitendo cha ´Aaishah kutembelea kaburi la kaka yake ni kitendo cha Swahabah kisichoangusha Hadiyth ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
[1] Imethibiti kwa mujibu wa Ibn Taymiyyah katika ”Madjmuu´-ul-Fataawaa” (31/206).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
Imechapishwa: 22/10/2017
https://firqatunnajia.com/maneno-ya-mtume-yanatangulia-kablaa-ya-kitendo-cha-aaishah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)