4Basi, Daudi akiwa huko nyikani alisikia kwamba Nabali alikuwa anawakata kondoo wake manyoya huko Karmeli. 5Hivyo, akawatuma vijana kumi, akawaambia: “Nendeni kwa Nabali huko Karmeli mkampelekee salamu zangu. 6Mtamwambia kwamba Daudi anakusalimu hivi: ”Amani iwe kwako, kwa jamaa yako na yote uliyo nayo.”
- Marejeo: 1 Samueli 25:04 https://www.bible.com/sw/bible/74/1SA.25.BHN
- Imechapishwa: 31/01/2020
4Basi, Daudi akiwa huko nyikani alisikia kwamba Nabali alikuwa anawakata kondoo wake manyoya huko Karmeli. 5Hivyo, akawatuma vijana kumi, akawaambia: “Nendeni kwa Nabali huko Karmeli mkampelekee salamu zangu. 6Mtamwambia kwamba Daudi anakusalimu hivi: ”Amani iwe kwako, kwa jamaa yako na yote uliyo nayo.”
Marejeo: 1 Samueli 25:04 https://www.bible.com/sw/bible/74/1SA.25.BHN
Imechapishwa: 31/01/2020
https://firqatunnajia.com/manabii-wanavotoa-salamu-ndani-ya-biblia-ndivo-waislamu-hii-leo-wanavofanya/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket